— Dar24 es la principal fuente de información para los tanzanos en cualquier lugar del mundo. Para obtener información confiable de varios campos. ¿TÚ TIENES NOTICIAS TAMBIÉN? ⚫️ CONTACTO DAR24 MEDIOS: +255 679 979 786 ⚫️ Correo electrónico: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Sitio web: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @ dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #sudan #war #Dar24Media
Medio Asociado a OK! News
SUDÁN ARDE: ¿LA GUERRA NO TERMINARÁ?/ RSF QUIERE LOS DÓLARES/ DAGALO TIENE MUCHO DINERO/ AL BASHIR ESTÁ INVOLUCRADO
- Advertisement -
hujuy banana
Sudani baba wa Kushi anasambaratika je wanawe watanusurika
Kwa nini Umoja wa Afrika uko kimya wakati Sudan inateketea?
Afrika shamba la mabebelu
Nikweli kaka ss afurika atuna umoja kabisaa sijui ni laa na Gani mtume🙉
Awa viongozi wa kiafrica awatosheki wanaiba wana ela nyingi na bado wana uchu wa madaraka viongozi wa kiafrica ni Mabaludhuli wakubwa
Hili ni tatizo kubwa. Wanajeshi hawa wangejaribu kutafuta suluu ya vita hivi. Watu wanakufa, Nchi inaaribiwa mwisho wake nini?. Waafrika tujitambue sasa.
daaa bado histry wachie wenye kifuwa kpn ww bd mno
Yes it's true 100 percent
ufafanuzi wako kk upo sahihi sn ok vzr sn
MashaAllah kaka angu amechambua vizuri hatafuni tafuni maneno Allah aibariki kazi yakini na akiendeleze kipaji chako cha utangazaji
RSF ni vibaraka wa marekani tu hao
Dawa ni hayo mataifa wanaouza silaha afrika wawekewe vikwazo nchi nyingi za kiisalam silaha zinaingia kutokea uturuki ulaya
Ni kweli upo sawa unafahamu huu mgogoro.
Umechambua vizuri sana
Dogo uko Vizuri
Upon vizuri kijana,nimekukubali sana
Sheikh hujui vita badoo tuleteeni mtu anae jua vita
African 🙄
Kama upumbavu hatutaucha tutawalaumu wazungu mpaka mwisho wa dunia,Congo ni vita Somalia ni vita na maeneo mengine.kote ni wenyewe kwa wenyewe kuna masnitch ndani mwetu hawa ndiyo wanafanya mambo yawe magumu.Wakibadilika na tukawa na uzalendo na tuache ulevi wa madaraka tutaelewana.Masnitch wanafadhiliwa na nchi tajiri hawa wanatuumiza hata Tanzania tunao ndani ya CCM na Chadema wao wapo kwa maslahi ya kulinda mabwana zao.mb………..vu zao wanaoidhulumu africa.
Jamaa anajua
Ubinafusi naunafiki wa viongozi wafrika matokeo yake ndiyo hayaa,