23.5 C
Munich
viernes, junio 2, 2023

HALI TETE SUDÁN: WATU 400 WAUAWA KINYAMA, HOFU YATANDA HADI NCHI JIRANI

Must read

HALI TETE SUDÁN: WATU 400 WAUAWA KINYAMA, HOFU YATANDA HADI NCHI JIRANI

Kuzuka kwa uhasama baina ya majenerali wawili nchini sudán kumezua hofu kwa nchi majirani ambao wamekuwa wakitegemeana katika baadhi ya rasilimali ikiwemo maji yanayotiririka katika mto Nile

Nchi ya Misri ambayo ni mtumiaji mkubwa wa maji ya mto Nile pamoja na Etiopía ambayo inatumia maji ya mto huo katika kuzalisha umeme tayari zimewasilina na mamlaka zinazokinzana nchini humo kwa lengo la kutaka kusitishwa kwa mapigano

Hofu baina ya mataifa hayo ni kwamba vita vinavyoendelea katika taifa hilo huenda vikasababisha ama kuathiri mtiririko mzima wa maji ya mto Nile pamoja uchafuzi wa maji hayo

Kwa mujibu wa mashirika ya umoja wa mataifa zaidi ya watu 400 wameuawa huku wengine 3700 wakijeruhiwa katika vita vinavyoendelea nchini Sudán

VER WASAFI TV📺
AZAM-411 | DSTV – 296 | ZUKÚ-028 | HORAS DE INICIO – 444 & 333 | COCO TV – 20 | CABLE DODOMA – 113

ESCUCHA WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻

Siga con nosotros:
INSTAGRAM: http://instagram.com/wasafitv || http://instagram.com/wasafifm/
GORJEO: https://twitter.com/wasafitv || https://twitter.com/wasafifm/
FACEBOOK: https://www.facebook.com/wasafitv/

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafim

- Advertisement -

More articles

24 COMENTARIOS

  1. Sudan Ina mkakati wa kuipa Urusi base ya kijeshi marekani wamemtumia general wa 2 kutoka juu kufanya uasi na kupingana na na boss wake ili nchi iingie ktk vita vya wenyewe kwa wenyewe na urusi isifanikiwe lengo lake

DEJA UNA RESPUESTA

Por favor ingrese su comentario!
Por favor ingrese su nombre aquí

- Advertisement -

Latest article